Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hosea 2:15

Hosea 2:15 BHN

Huko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu, bonde la Akori nitalifanya lango la tumaini. Atanifuata kwa hiari kama alipokuwa kijana, kama wakati alipotoka katika nchi ya Misri.

Soma Hosea 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Hosea 2:15