Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 6:18

Waebrania 6:18 BHN

Basi, kuna vitu hivi viwili: Ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waebrania 6:18