Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 24:3-4

Mwanzo 24:3-4 BHN

nami nitakuapisha kwa jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa mbingu na dunia, kwamba hutamwoza mwanangu msichana yeyote miongoni mwa binti za Wakanaani ninaoishi nao. Niapie kwamba utakwenda mpaka katika nchi yangu, kwa jamaa zangu, umtafutie mwanangu Isaka mke.”

Soma Mwanzo 24

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 24:3-4