Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 34:2

Ezekieli 34:2 BHN

“Wewe mtu! Toa unabii dhidi ya wachungaji wa Israeli. Waambie hao wachungaji kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Ole wenu nyinyi wachungaji wa Israeli, mnaojilisha nyinyi wenyewe tu! Je, haiwapasi wachungaji kuwalisha kondoo?

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 34:2