Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 2:7-8

Ezekieli 2:7-8 BHN

Wewe utawaambia maneno yangu, hata kama watasikia au hawatasikia, maana wao ni watu waasi. “Lakini ewe mtu, sikiliza ninayokuambia, wala usiwe mwasi kama watu hao. Fumbua kinywa chako, ule ninachokupa.”

Soma Ezekieli 2