Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 18:20

Ezekieli 18:20 BHN

Atakayetenda dhambi ndiye atakayekufa. Mtoto hatawajibika kwa uovu wa baba yake, wala baba hatawajibika kwa uovu wa mtoto wake. Uadilifu wa mwadilifu utamfaa yeye mwenyewe: Na uovu wa mwovu ataubeba yeye mwenyewe.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 18:20