Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 10:1-2

Kutoka 10:1-2 BHN

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao. Mimi nimemfanya kuwa mkaidi na maofisa wake ili nipate kutenda ishara hizi miongoni mwao, ili nyinyi mpate kuwasimulia watoto wenu na wajukuu wenu, jinsi nilivyowadhihaki Wamisri kwa kuzifanya ishara hizo miongoni mwao. Hivyo mtatambua kuwa mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.”

Soma Kutoka 10

Video for Kutoka 10:1-2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 10:1-2