Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 5:19

Mhubiri 5:19 BHN

Kama Mungu anampa mtu utajiri na mali na kumjalia fursa ya kufurahia hayo, basi binadamu ashukuru na avifaidi hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu.

Soma Mhubiri 5