Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 18:10-11

Kumbukumbu la Sheria 18:10-11 BHN

Pasiwe mtu yeyote miongoni mwenu atakayemtambika mtoto wake wa kiume au wa kike kwa moto, wala mtu apigaye ramli, wala mwaguzi, wala mpiga bao, wala mchawi, wala mlozi, wala mwenye kutaka kauli kwa mizimu na pepo au kutoka kwa wafu.