Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samueli 18:7-8

1 Samueli 18:7-8 BHN

Pia walikuwa wanacheza na kuimba nyimbo za kuitikiana hivi: “Shauli ameua maelfu yake, na Daudi ameua makumi elfu yake.” Shauli hakupendezwa na maneno ya wimbo huo, hivyo akakasirika sana. Akasema, “Wamempa Daudi makumi elfu, lakini mimi wamenipa maelfu tu. Lililobakia ni kumpa Daudi ufalme.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Samueli 18:7-8