Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Mambo ya Nyakati 28:9

1 Mambo ya Nyakati 28:9 BHN

“Nawe Solomoni mwanangu, umjue Mungu wa baba yako, na umtumikie kwa moyo wako wote na kwa nia thabiti; yeye Mwenyezi-Mungu huchunguza mioyo na anafahamu mipango na fikira za binadamu. Ukimtafuta yeye, utamwona; lakini ukimwacha, atakutupilia mbali milele.