Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 8:10-11

Ufunuo 8:10-11 BHND

Kisha, malaika wa tatu akapiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto ikaanguka kutoka mbinguni na kutua juu ya theluthi moja ya mito na chemchemi za maji. (Nyota hiyo inaitwa “Uchungu.”) Basi, theluthi moja ya maji yakawa machungu; watu wengi wakafa kutokana na maji hayo, kwa sababu yaligeuka kuwa machungu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 8:10-11