Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 16:17-18

Marko 16:17-18 BHND

Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: Kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya. Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.”