Matendo ya Mitume 12:7
Matendo ya Mitume 12:7 SRB37
Mara malaika wa Bwana akasimama hapo karibu, nao mwanga ukamulika chumbani. Akamwamsha Petero kwa kumpiga ubavu akisema: Inuka upesi! Ndipo, mapingu yalipomwanguka mikononi.
Mara malaika wa Bwana akasimama hapo karibu, nao mwanga ukamulika chumbani. Akamwamsha Petero kwa kumpiga ubavu akisema: Inuka upesi! Ndipo, mapingu yalipomwanguka mikononi.