Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 16:7-8

Yohane 16:7-8 SCLDC10

Lakini, nawaambieni ukweli: Afadhali kwenu mimi niende zangu, maana nisipokwenda Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, basi, nitamtuma kwenu. Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.

Soma Yohane 16