Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 16:17-18

Marko 16:17-18 TKU

Na wale waaminio wataweza kufanya ishara hizi kama uthibitisho: watafukuza mashetani kwa jina langu; watasema kwa lugha mpya wasizojifunza bado; watakamata nyoka kwa mikono yao; na ikiwa watakunywa sumu yoyote, haitawadhuru; wataweka mikono yao kwa wagonjwa, nao watapona.”

Soma Marko 16

Video ya Marko 16:17-18