Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 4:19-20

Mathayo 4:19-20 TKU

Yesu akawaambia, “Njooni, mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa aina nyingine. Nitawafundisha jinsi ya kukusanya watu badala ya samaki.” Mara moja, Simoni na Andrea wakaziacha nyavu zao na kumfuata Yesu papo hapo.

Soma Mathayo 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 4:19-20