Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 4:1-2

Mathayo 4:1-2 TKU

Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani. Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana.

Soma Mathayo 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 4:1-2