Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 8:10-11

Yohane 8:10-11 BHNTLK

Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, “Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?” Huyo mwanamke akamjibu, “Bwana, hakuna hata mmoja!” Naye Yesu akamwambia, “Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa usitende dhambi tena.”]

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohane 8:10-11