Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 1:17-18

Ufunuo 1:17-18 SRUV

Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho, na aliye hai; nami nilikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.

Soma Ufunuo 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 1:17-18

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha