Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 24:9-11

Mathayo 24:9-11 SRUV

Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu. Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana. Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.

Soma Mathayo 24

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 24:9-11

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha