Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waamuzi 2:18

Waamuzi 2:18 SRUV

Na kila wakati BWANA alipowainulia waamuzi, ndipo BWANA alikuwa pamoja na mwamuzi huyo, akawaokoa na mikono ya adui zao siku zote za mwamuzi huyo; maana BWANA alisikitishwa na kilio chao kwa sababu ya watu wale waliowaonea na kuwasumbua.

Soma Waamuzi 2