Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:6-8

Yakobo 1:6-8 SRUV

Ila na aombe kwa imani, pasipo mashaka yoyote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari linalochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku. Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana. Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.

Soma Yakobo 1