Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 36:7

Isaya 36:7 SRUV

Lakini ukiniambia, Tunamtumaini BWANA, Mungu wetu, je! Si yeye ambaye Hezekia ameondoa mahali pake mlimoinuka, na madhabahu zake, akawaambia watu wa Yuda na Yerusalemu, Sujuduni mbele ya madhabahu hii?

Soma Isaya 36