Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 8:18-19

Kutoka 8:18-19 SRUV

Hao waganga nao wakafanya mfano wa hayo kwa uganga wao, ili kwamba walete chawa, lakini wasiweze; nako kulikuwa na chawa juu ya wanadamu, na juu ya wanyama. Ndipo wale waganga wakamwambia Farao, Jambo hili ni kidole cha Mungu; na moyo wake Farao ukawa mgumu asiwasikize; vile vile kama BWANA alivyonena.

Soma Kutoka 8

Video for Kutoka 8:18-19

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 8:18-19