Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 15:26

Kutoka 15:26 SRUV

akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yoyote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.

Soma Kutoka 15

Video for Kutoka 15:26

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 15:26