Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 4:2-4

Wakolosai 4:2-4 SRUV

Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani; mkituombea na sisi pia, kwamba Mungu atufungulie mlango kwa lile neno lake, tuinene siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake nimefungwa, ili niidhihirishe, kama inipasavyo kunena.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 4:2-4