Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 8:34-35

Matendo 8:34-35 SRUV

Yule towashi akamjibu Filipo, akasema, Nakuomba, nabii huyu; asema maneno haya kwa habari ya nani; ni habari zake mwenyewe au za mtu mwingine? Filipo akafunua kinywa chake, naye, akianza kwa andiko lilo hilo, akamhubiria Habari Njema za Yesu.

Soma Matendo 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 8:34-35