Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 4:18

1 Samweli 4:18 SRUV

Ikawa alipolitaja sanduku la Mungu, Eli akaanguka kitini pake kwa nyuma, kando ya mlango, shingo yake ikavunjika, akafa; maana alikuwa mzee, tena mzito. Naye alikuwa amewaamua Waisraeli miaka arubaini.