Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 18:27

1 Wafalme 18:27 SRUV

Ikawa, wakati wa adhuhuri, Eliya akawafanyia dhihaka, akasema, Mwiteni kwa sauti kuu; maana ni mungu huyo; labda anazungumza, au ana shughuli, au anasafiri, au labda amelala, sharti aamshwe.