Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 24:46-47

Luka 24:46-47 SRUVDC

Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.

Soma Luka 24