Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 42:7

Mwanzo 42:7 SRUVDC

Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.

Soma Mwanzo 42