Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Rut 1:20-21

Rut 1:20-21 SUV

Akawaambia, Msiniite Naomi, niiteni Mara, kwa sababu Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana. Mimi nalitoka hali nimejaa, naye BWANA amenirudisha sina kitu, kwani kuniita Naomi, ikiwa BWANA ameshuhudia juu yangu, na Mwenyezi Mungu amenitesa?

Soma Rut 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Rut 1:20-21