Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isa 42:6-7

Isa 42:6-7 SUV

Mimi, BWANA, nimekuita katika haki, nami nitakushika mkono, na kukulinda, na kukutoa uwe agano la watu, na nuru ya mataifa; kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani waliofungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufungwa.

Soma Isa 42