Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Est 6:6

Est 6:6 SUV

Basi Hamani akaingia. Mfalme akamwambia, Afanyiziwe nini yule ambaye mfalme apenda kumheshimu? Hamani akasema moyoni mwake, Ni nani ambaye mfalme apenda kumheshimu kuliko mimi?

Soma Est 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Est 6:6

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha