Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 4:18

1 Sam 4:18 SUV

Ikawa alipolitaja sanduku la Mungu, Eli akaanguka kitini pake kwa nyuma, kando ya mlango, shingo yake ikavunjika, akafa; maana alikuwa mzee, tena mzito. Naye alikuwa amewaamua Israeli miaka arobaini.

Soma 1 Sam 4