Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 9:20-21

Ufunuo 9:20-21 NEN

Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea. Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 9:20-21