Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 13:44

Mathayo 13:44 NENO

“Ufalme wa mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.