Luka 1:78-79
Luka 1:78-79 NEN
kwa ajili ya wingi wa rehema za Mungu wetu, nuru itokayo juu itatuzukia ili kuwaangazia wale waishio gizani na katika uvuli wa mauti, kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.”
kwa ajili ya wingi wa rehema za Mungu wetu, nuru itokayo juu itatuzukia ili kuwaangazia wale waishio gizani na katika uvuli wa mauti, kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.”