Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 19:1-3

Yohana 19:1-3 NENO

Ndipo Pilato akamtoa Isa akaamuru apigwe mijeledi. Askari wakasokota taji la miiba, wakamvika Isa kichwani. Wakamvalisha joho la zambarau. Wakawa wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!” Huku wakimpiga makofi usoni.