Yohana 19:1, 2, 3
Yohana 19:2 NENO
Askari wakasokota taji la miiba, wakamvika Isa kichwani. Wakamvalisha joho la zambarau.
Yohana 19:3 NENO
Wakawa wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!” Huku wakimpiga makofi usoni.