Isaya 40:17-18
Isaya 40:17-18 NEN
Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa. Basi, utamlinganisha Mungu na nani? Utamlinganisha na kitu gani?
Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa. Basi, utamlinganisha Mungu na nani? Utamlinganisha na kitu gani?