Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 25:32-33

Mwanzo 25:32-33 NENO

Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?” Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Hivyo Esau akamwapia, akamuuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.