Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wagalatia 2:11-13

Wagalatia 2:11-13 NEN

Lakini Petro alipofika Antiokia, mimi nilimpinga ana kwa ana kwa sababu alikuwa amekosea kwa wazi. Kabla baadhi ya watu waliotoka kwa Yakobo hawajafika, alikuwa akila pamoja na watu wa Mataifa. Lakini hao watu walipofika alianza kujiondoa na kujitenga na watu wa Mataifa kwa sababu aliwaogopa wale wa kundi la tohara. Pia Wayahudi wengine waliungana naye katika unafiki huu, hata Barnaba naye akapotoshwa na unafiki wao.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wagalatia 2:11-13