Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 37:1-2

Ezekieli 37:1-2 NEN

Mkono wa BWANA ulikuwa juu yangu, naye akanitoa nje kwa Roho wa BWANA na kuniweka katikati ya bonde lililokuwa limejaa mifupa tele. Akanipitisha pande zote kwenye hiyo mifupa, nami nikaona mifupa mingi sana ndani ya lile bonde, mifupa iliyokuwa imekauka sana.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 37:1-2