Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 34:16

Ezekieli 34:16 NEN

Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 34:16