Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 5:19

Mhubiri 5:19 NEN

Zaidi ya yote, Mungu anapompa mtu yeyote utajiri na milki, humwezesha kuvifurahia, kukubali fungu lake na kuwa na furaha katika kazi yake, hii ni karama ya Mungu.