Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu 18:10-11

Kumbukumbu 18:10-11 NEN

Asionekane mtu yeyote miongoni mwenu ampitishaye mwanawe au binti yake katika moto, atakayefanya uaguzi, ulozi, anayetabiri nyakati, anayejishughulisha na uchawi, wala arogaye kwa kupiga mafundo, wala mwaguzi au anayeabudu mizimu, wala awaombaye wafu.