Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 5:25-28

Danieli 5:25-28 NEN

“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi “Hii ndiyo maana ya maneno haya: “ Mene : Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha. Tekeli : Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua. Peresi : Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 5:25-28

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha