Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Samweli 24:24

2 Samweli 24:24 NEN

Lakini mfalme akamjibu Arauna, “La hasha, nasisitiza kuvilipia. Sitatoa sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA Mungu wangu isiyonigharimu chochote.” Kwa hiyo Daudi akanunua ile sakafu ya kupuria nafaka na maksai, akazilipia shekeli hamsini za fedha.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Samweli 24:24